Kwa wale watakao hitaji ramani za nyumba, mimi ni Architect.nafanya residential Houses peke yake. Tuwasiliane kwa wale watakaokua intrested, tuwasiliane. 0763080244
JINSI YA KUCHORA KWA KUTUMIA AUTOCADMpendwa msomaji pole na majukumu ya kila siku katika harakati za kujenga uchumi wetu na wa nchi kwa ujumla.
Huu
ni muendelezo wa mafundisho yanayohusu utumiaji wa program ya autocad,
na ni matumaini yetu kuona ukituelewa kwa kile tunachokupatia.
kama hukufanikiwa kuona mafundisho yaliyopita usijali bonyeza kwenye maandishi hapo chini
je unataka kujifunza autocad ingia hapa
jinsi ya kuandaa mazingira ya...